You are now browsing in Swahili. Switch to English
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiswahili. Rudi kwa Kiingereza"
Lazime uingie akaunti ili kubadilisha wasifu wako au kuona wasifu wa wengine

Umeshafungua akaunti? Ingia

Ingia
Umesahau nenosiri lako?
Sijapata barua pepe ya kuthibitisha

Fungua akaunti mpya

Jiandikishe upate habari na vitabu bure!
Ugonjwa wa Parkinson
Kimeandikwa na
Mchapishaji Hesperian
sw
Ugonjwa wa Parkinson ni nini? Ugonjwa wa Parkinson ni ugonjwa unaozidi polepole katika mfumo wa neva ya kati. Watu wenye ugonjwa wa Parkinson, polepole hupoteza uwezo wa kudhibiti kabisa harakati za usogezaji wa mwili. Ilielezwa kwa mara ya kwanza mwaka 1871, na Daktari wa Kiingereza kwa jina Daktari Parkinson ambaye aliuita “Shaking Palsy”.Hatimaye, ugonjwa huu ambao Dkt. Parkinson aliuelezea kwa mara ya kwanza ukaitwa baada yake. Duniani kote, watu milioni minne hadi sita wanakabiliwa na hali hii na katika Afrika kuna ongezeko la idadi ya watu wanaoripotiwa kuwa wanaishi na ugonjwa wa Parkinson.
...
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all