You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Diwani Ya Akilimali
Publisher East African Literature Bureau
Published 1963
sw
Pages 79
MTUNGAJI wetu Bwana K. H. A. Akilimali Snow-White ametufanyia hisani kutukusanyia mashairi yake katika sura ya kitabu hiki. Ingawa Bwana Snow-White amefanikiwa sana sana utungaji wa mashairi yu bado kijana mbichi. Hivi mashairi haya mazuri yanaeleza kwa wingi mwendo wa siasa wa vijana, na maonyo na maagizo, pamoja na hekima ya mambo yenyewe kwa namna yanavyofasirika katika maoni ya mtungaji wetu stadl. Baadhi ya mashairi ni jawabu ya mashairi yaliyoandikwa na watungaji wengine, kama ilivyo desturi mashuhuri ya toka asili ya watungaji wa mashairi ya Kiswahili kujibizana. Baadhi ya mashairi haya ni mashangilio au masimango. Baadhi ni maombi au dua. Na mengine ni mashairi yanayohusu mapenzi ndoa na talaka. Mashairi mengine yamo katika sura ya fumbo kwa mfano shairi la 'Jozi' ua 'Ua la moyoni' litafahamika kwa watungaji wengi wa Kiswahili, na hata kwa wasomaji pia kuwa linahusu ndoa na mapenzi.
...
THE EAGLE PRESS Hii ni alama ya East African Literature Bureau, ambayo ni idara moja ya Jumuia ya Kazi za Kushirikiana katika Afrika ya Mashariki. Kazi yake ni kutoa vitabu na kuendesha kazi za maktaba kwa ajili ya wananchi katika Afrika ya Mashariki.
...
Thank you to East African Literature Bureau
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all