You are now browsing in Swahili. Switch to English
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiswahili. Rudi kwa Kiingereza"
Lazime uingie akaunti ili kubadilisha wasifu wako au kuona wasifu wa wengine

Umeshafungua akaunti? Ingia

Ingia
Umesahau nenosiri lako?
Sijapata barua pepe ya kuthibitisha

Fungua akaunti mpya

Jiandikishe upate habari na vitabu bure!
Sauti Zetu - Huduma za Afya kwa Wote
Mchapishaji Open Society Initiative for East Africa
Mwaka 2012
sw
Kurasa 52
Moja kati ya haki ya msingi za kila binadamu ni kufurahia viwango vya juu vya afya viwezekanavyo. Serikali zina majukumu ya kitaifa na kimataifa kutoa huduma bora za afya zinazofikika kwa gharama nafuu na zinazopatikana kwa watu wote bila ubaguzi. Hata hivyo, uhalisi huu katika nchi zinazoendelea kama vile katika Afrika Mashariki ni matakwa ambayo bado hayajatimika. Kanuni kuu ni kwamba haki ya afya inategemea upatikanaji wa rasilimali za serikali. Ingawa serikali katika kanda hii zimeweza kuzongwa na ukosefu wa rasilimali na kushindwa kutoa huduma jumuishi za afya kwa watu wote, huduma za afya kwa maskini na wale walioathirika si hiari bali wajibu. Aidha, serikali zina jukumu la kuendelea kupanua utoaji wa huduma ya afya kila mwaka na ni mzigo uko begani mwa serikali kuonesha kwamba inafanya hivyo na kwa upeo wa rasilimali zilizopo.
...
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all