You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Mifugo yenye afya, Wafugaji wenye furaha!
Publisher Food and Agriculture Organization of the United Nations
sw
Pages 4
Download
0.6 MB
Ugonjwa unapotokea, na dawa aina ya antibayotiki zikashindwa kufanya kazi, unaweza kupoteza Mifugo yako yote kutokana na ugonjwa. Hii pia inahatarisha afya yako na familia yako kwani ugonjwa unaweza kusambaa kati ya Mifugo na binadamu. Okoa maisha kwa kufuata ushauri uliopohapa chini kuanzia leo! Kuna sababu kuu mbili zinazosababisha dawa zishindwe kutibu magonjwa; • Kutumia dawa isiyo sahihi wakati wa matibabu husika au matumizi holela ya dawa. • Vimelea vinavyosababisha maambukizi vinakuwa sugu dhidi ya dawa- kitendo hiki huitwa “Usugu wa Dawa”. Kila tunapotumia dawa mfano Antibayotiki kutibu maambukizi kwa binadamu, mifugo na mimea, vimelea hawa hupata fursa ya kubuni mbinu mbalimbali za kukabiliana na tiba na kusabababisha dawa zipungue uwezo wa kutibu kadri muda unavyoenda. Usugu wa dawa ni moja ya sababu kubwa inayosababisha dawa nyingi muhimu kushindwa kutibu ipasavyo. Tusipokuwa na dawa zinazofanya kazi vema, watu wengi, mifugo na mimea itakuwa katika hatari kubwa ya kufa kutokana na maambukizi. Lakini tunaweza kuchukua hatua sasa ili kuziwezesha dawa hizi kuendelea kufanya kazi ipasavyo.
...
Thank you to Food and Agriculture Organization of the United Nations
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all