You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Pesa za Mawe
Written by Oscar Ulomi
Publisher E & D Limited
Published 2006
sw
Pages 70
Rasta Kala Ndezi ni kijana aliyekosa dira tangu alipokuwa mdogo. Kazaliwa kutokana na mzazi mkatili na mlevi. Uhalifu ukawa kitu cha kawaida kwake, naye akawa mtu muafaka wa kutumika katika uhalifu. Kala alipoingia katika biashara ya kuuza “mawe” akajikuta anaishi ndani ya mkondo wa Maisha ya kichinichini ya ufisadi uliokithiri. Pesa za Mawe ni hadithi inayotufungulia pazia kutuonyesha yanayoweza kuwa yanatokea hivi sasa hapa Tanzania. Hadithi inatuchorea barabara ya biashara haramu ya madini inayovuka mipaka ya nchi, kanda na hatimaye kufika katika masoko makubwa ya dunia. Hadithi inatuonyesha jinsi maliasili yetu ya madini inavyoweza kuishia katika mikono ya watu wachache mno, watu ambao kwao “pesa” ni Imani, na ‘Ufisadi ‘ ni itikadi. Cha kutia moyo ni kwamba Pesa za Mawe ni kielelezo kamili kuwa ufisadi haulipi.
...
link: https://vitabu.edvisionpublishing.co.tz/product/pesa-za-mawe/ alternate isbn: 9987-411-38 x
...
ISBN: 998741138X
Thank you to E & D Limited
1 copy
Available for free in Arusha! Request
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all