You are now browsing in Swahili. Switch to English
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiswahili. Rudi kwa Kiingereza"
Lazime uingie akaunti ili kubadilisha wasifu wako au kuona wasifu wa wengine

Umeshafungua akaunti? Ingia

Ingia
Umesahau nenosiri lako?
Sijapata barua pepe ya kuthibitisha

Fungua akaunti mpya

Jiandikishe upate habari na vitabu bure!
Sitaisahau MV Bukoba
Kimeandikwa na Nyaisa Simango
Mchapishaji E&D Vision Pub.
Mwaka 2009
sw
Kurasa 167
SITASAHAU MV BUKOBA: Ni kitabu kinachoelezea hali halisi ilivyokuwa ndani ya meli ya MV Bukoba kabla na baada ya ajali. Nyaisa Simango ni miongoni mwa abiria wachache tu walionusurika katika ajali hiyo. Anajaribu kuelezea tangu mwanzo wa safari yake toka Dar es salaam kwa treni hadi Mwanza, na kutoka Mwanza kwenda Bukoba, na safari yake ya kurudi kutoka Mwanza kwenda Bukoba, na safari yake ya kurudi kutoka Bukoba na meli hiyohiyo hadi ilipoishia kwa kupinduka na kuzama, kiasi cha maili kumi hivi kabla ya kufika bandarini Mwanza. Amejaribu kuelezea matatizo mbalimbali ya MV Bukoba tangu mwanzo wa safari hadi kuzama kwake,na athari za ajali hii kijamii, kiuchumi na kisiasa. Mwisho anahitimisha kwa kutoa uchambuzi wa majanga kama haya, mapendekezo na ushauri kwa taasisi mbalimbali zinazotoa huduma kwa jamii.
...
link: https://vitabu.edvisionpublishing.co.tz/product/sitasahau-mv-bukoba/
...
ISBN: 9987521436
Shukrani kwa E&D Vision Pub.
nakala 1
Kinapatikana Arusha bila malipo! Omba
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all