Sign up for news and free books by email!
Ndege-Maji Ufukweni
Mkusanyiko wa Hadithi kwa Vijana wa Afrika
Written by Elias Mutani
Publisher E&D Vision Publishing
Published 2019
sw
Pages 257
Hadithi hizi kutoka bara la kale Zaidi duniani lenye idadi kubwa ya vijana zinahusu mambo mbalimbali toka yale ya njozi za Afrika nyingine inavyoweza kuwa; ushuhuda wa vijana kutoka vitani; siri ya kifo na maswali ya kila mtu kuhusu familia, urafiki, na ngono. Licha ya mawanda mapana ya mada, hadithi katika mkusanyiko huu wa kwanza wa kihistoria wa Hadithi za Vijana wa Afrika zimesimuliwa kwa sauti ambayo kijana au yeyote aliyewahi kuwa kijana anaielewa. Ni sauti za uthubutu, wakati mwingine zimejaa mashaka, lakini daima zinaongelea ulimwengu unaowazunguka.
...
link: https://vitabu.edvisionpublishing.co.tz/product/ndege-maji-ufukweni/
...
ISBN: 9987735746
Thank you to E&D Vision Publishing
1 copy
Available for free in Arusha! Request
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.