Nyani Mtu
Kimeandikwa na Rashid Mohamed Zahor
Mchapishaji Mkuki na Nyota
Mwaka 2004
sw
Kurasa 22
Nyani Mtu ni kisa cha kusisimua cha Nyani mmoja aliyebadilika na kuwa mwanamke mzuri. Anaolewa na binadamu na kuzaa watoto. Baadaye, anaanza kuota manyoya, mkia, kubadilika sura na hatimaye kuirudia asili yake ya Nyani. Kwani mambo yalikuwaje? Soma ili ugundue mkasa mzima.
...
ISBN: 9987686931
Shukrani kwa Mkuki na Nyota
nakala 1
Kinapatikana Arusha bila malipo! Omba
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.