Sarufi ya Kiswahili
sw
Kitabu hiki kimetayarishwa ili kukidhi mahitaji ya ufundishaji wa Safuri ya Kiswahili katika Shule za Msingi. Pia kitawafaa wanafunzi wa Shule za Sekondari na vilevile wageni wanaojifunza Lugha ya Kiswahili ili waimudu vyema katika kuiandika na kuzungumza. Waandishi ni walimu wenye uzoefu wa kufundisha somo hili na wenye uelewa wa matatizo ya wanafunzi katika kujifunza Safuri ya Kiswahili.
...
link: https://mkukinanyota.com/product/sarufi-ya-kiswahili/
...
ISBN: 9987686567
nakala 1
Kinapatikana Arusha bila malipo! Omba
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.