You are now browsing in Swahili. Switch to English
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiswahili. Rudi kwa Kiingereza"
Lazime uingie akaunti ili kubadilisha wasifu wako au kuona wasifu wa wengine

Umeshafungua akaunti? Ingia

Ingia
Umesahau nenosiri lako?
Sijapata barua pepe ya kuthibitisha

Fungua akaunti mpya

Jiandikishe upate habari na vitabu bure!
Heri
Kimeandikwa na Zefania J. N. Kalumuna
Mchapishaji Mkuki na Nyota Publishers
Mwaka 2002
sw
Kurasa 126
Hii ni hadithi inayochambua jamii ya mjini kwa kina na kuweka bayana matukio na matatizo mbalimbali ya vijana na jamii nzima. Mhusika mkuu katika hadithi hii, Heri, ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi anayeona vigumu kuzingatia masomo kwa vishawishi vya mapenzi na kujikuta amebanwa na mahitaji ya mpenzi wake, Pendo, na ukali wa walimu wake na jinsi anavyojitahidi kujikwamua. Baba yake Heri, anamhamasisha kwa kumwambia kuwa jina lake, Heri, lina maana kubwa: Hangaikia Elimu Raha Inakungoja. Ni Hadithi nzuri inayoonya,kufundisha na kuelimisha. This novel is about city people and particularly the engagement of youth and society in cities. It tells the story of a student in the city who finds himself embroiled in a problematic love relationship that interferes with his education; and shows how he tries to extricate himself.
...
ISBN: 9987686494
Shukrani kwa Mkuki na Nyota Publishers
nakala 1
Kinapatikana Arusha bila malipo! Omba
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all