You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Uwazi na Ukweli: Kitabu cha Pili
Raisi wa Watu Azungumza na Wananchi
Publisher Mkuki na Nyota Publishers
Published 2003
sw
Katika kitabu hiki cha pili kwenye mfululizo wa vitabu vinavyokusanya hotuba zake za kila mwisho wa mwezi (cha tatu kinaandaliwa), Rais Benjamin W. Mkapa anazungumzia matukio mema na mabaya ya mwaka 2002, pamoja na hatua za maendeleo zilizopigwa na taifa katika nyanja za kisiasa, kijamii na kiuchumi. Rais Mkapa anaeleza kwa kina maana na athari za utandawazi kwetu kama taifa na kwa watu binafsi. Aidha anaendelea kueleza, kufafanua na kutetea sera ya ubinafsishaji na kuonyesha matunda ya sera hiyo bila kupuuza sokomoko kama ile iliyofuatia hatua ya kubinafsisha shirika la TANESCO. Rais Mkapa anaelezea vilevile masuala ya siasa, hasa utekelezaji mzuri wa MWAFAKA kati ya CCM na CUF kule Zanzibar ulioashiria utulivu wa kisiasa nchini na kurejesha upendo na mshikamano wa wananchi Visiwani. Kwa wale wote wanaopenda kufuatilia historia ya taifa letu, hotuba hizi za Rais Benjamini W. Mkapa ni kumbukumbu nzuri na ya kudumu ya miaka ya uongozi wake. Ni muhimu pia kwa viongozi, walimu na wanafunzi wa ngazi zote katika kuelewa na kuelezea masuala ya siasa, jamii na uchumi wa Tanzania.
...
link: https://mkukinanyota.com/product/uwazi-na-ukweli-2/ alternate isbn: 9987686435 9789987686438
...
ISBN: 9789987686766
Thank you to Mkuki na Nyota Publishers
1 copy
Available for free in Arusha! Request
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all