Popo, Ndege na Panya
Kimeandikwa na
Mchapishaji Mkuki na Nyota
sw
Popo alikuwa akirandaranda na kuzurura akitafuta familia ambayo ingeweza kumpokea na kumpenda.Kwanza alikwenda kwa panya lakini panya walimkana.Halafu alikwenda kwa ndege, nao pia wakamkataa.Baada ya hapo alikwenda kwa binadamu, na huyo ndiyo kabisaa, akamtimua. Lakini mambo yalikuja yakageuka. Waliomkataa wakataka sasa awe jamaa yao. Soma ugundue hawa ni nani. Katika kisa hiki cha kuhuzunisha na kufurahisha, Popo aliamua hatimae kuwa, “Kumbe ulimwenguii kuna vitu vingine vya maana vya kuwaza kuliko kuwa ndege au panya.”
...
link: https://mkukinanyota.com/product/popo-ndege-na-panya/
...
ISBN: 9987686400
Shukrani kwa Mkuki na Nyota
nakala 1
Kinapatikana Arusha bila malipo! Omba
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.