Jiandikishe upate habari na vitabu bure!
Watoto na Zimwi
Kimeandikwa na F. Bea
Mchapishaji Mkuki na Nyota
sw
Karibu na Kijiji alichoishi Soli, kulikuwa na msitu wenye viumbe wengi wa ajabu wanaoitwa Zimwi. Zimwi moja lilikuwa sana na lenye kutisha. Lilifanana na nyani kwa juu na miguu yake ilifanana na ya kuku. Lilikuwa na meno marefu yaliyojitokeza nje ya kinywa chake, na mkia mrefu. Watu wote kijijini waliishi kwa wasiwasi na woga wa zimwi lile. Mashujaa walijaribu kuliua zimwi lile bila mafaniko, likaendelea kumeza watu na wanyama wengi. Je, wanakijiji wataendelea kuishi kwa woga na mashaka au watajitokeza mashujaa watakaoliua na kuwanusuru wanakijiji? Soma ugundue mashujaa ni akina nani.
...
link: https://mkukinanyota.com/product/watoto-na-zimwi/
...
ISBN: 9987686206
Shukrani kwa Mkuki na Nyota
nakala 1
Kinapatikana Arusha bila malipo! Omba
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.