You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Watoto na Zimwi
Written by F. Bea
Publisher Mkuki na Nyota
sw
Karibu na Kijiji alichoishi Soli, kulikuwa na msitu wenye viumbe wengi wa ajabu wanaoitwa Zimwi. Zimwi moja lilikuwa sana na lenye kutisha. Lilifanana na nyani kwa juu na miguu yake ilifanana na ya kuku. Lilikuwa na meno marefu yaliyojitokeza nje ya kinywa chake, na mkia mrefu. Watu wote kijijini waliishi kwa wasiwasi na woga wa zimwi lile. Mashujaa walijaribu kuliua zimwi lile bila mafaniko, likaendelea kumeza watu na wanyama wengi. Je, wanakijiji wataendelea kuishi kwa woga na mashaka au watajitokeza mashujaa watakaoliua na kuwanusuru wanakijiji? Soma ugundue mashujaa ni akina nani.
...
link: https://mkukinanyota.com/product/watoto-na-zimwi/
...
ISBN: 9987686206
Thank you to Mkuki na Nyota
1 copy
Available for free in Arusha! Request
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all