Sign up for news and free books by email!
Zimwi la Mrima
Written by Fatma S. Rawah
Publisher Mkuki na Nyota Publ.
Published 2004
sw
Pages 17
Ili kuhimili mabadiliko yanayoletwa na mchakato wa utandawazi, watu binafsi na jamii kwa ujumla hawana budi kufahamu na kutumia kanuni bora za kuendesha miradi ili kuongeza uzalishaji na tija. Kitabu hiki kimeandikwa kwa makusudi ya kuwasaidia vijana na Watanzania wote kwa ujumla kupata maarifa ya namna bora za kuanzisha miradi endelevu. Ni kitabu ambacho kitawafaa watendaji katika ngazi mbalimbali za Serikali kuanzia vijijini hadi taifani. Bila shaka kila mmoja atanufaika na maarifa yaliyomo humu, hasa kwa wale wanaokusudia kuanzisha miradi yao wenyewe na wale wanaosimamia miradi ya jamii.
...
link: https://mkukinanyota.com/product/zimwi-la-mrima/
...
ISBN: 9987417051
Thank you to Mkuki na Nyota Publ.
1 copy
Available for free in Arusha! Request
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.