Zimwi la Mrima
Kimeandikwa na Fatma S. Rawah
Mchapishaji Mkuki na Nyota Publ.
Mwaka 2004
sw
Kurasa 17
Ili kuhimili mabadiliko yanayoletwa na mchakato wa utandawazi, watu binafsi na jamii kwa ujumla hawana budi kufahamu na kutumia kanuni bora za kuendesha miradi ili kuongeza uzalishaji na tija. Kitabu hiki kimeandikwa kwa makusudi ya kuwasaidia vijana na Watanzania wote kwa ujumla kupata maarifa ya namna bora za kuanzisha miradi endelevu. Ni kitabu ambacho kitawafaa watendaji katika ngazi mbalimbali za Serikali kuanzia vijijini hadi taifani. Bila shaka kila mmoja atanufaika na maarifa yaliyomo humu, hasa kwa wale wanaokusudia kuanzisha miradi yao wenyewe na wale wanaosimamia miradi ya jamii.
...
link: https://mkukinanyota.com/product/zimwi-la-mrima/
...
ISBN: 9987417051
Shukrani kwa Mkuki na Nyota Publ.
nakala 1
Kinapatikana Arusha bila malipo! Omba
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.