You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Mwanangu Rudi Nyumbani
Written by Dotto Rangimoto
Publisher Mkuki na Nyota
Published 2018
sw
Pages 94
Muswada huu umesomwa na majaji watatu: Ken Waribora Waliaula (Mwenyekiti wa Majaji), mwanataaluma na mwandishi; Daulat Abdalla Said, mwanataaluma na mwandishi, anayesomesha Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar; na Ali Attas, mwandishi na mwalimu wa Kiswahili na Kiingereza, Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje, Japan. Wakizingatia historia ndefu ya uandishi katika lugha ya Kiswahili, majaji wa Tuzo ya Kiswahili ya Mabati-Cornell ya Fasihi ya Afrika wameeleza: Mashairi yaliyomo katika diwani hii yametumia lugha iliyojaa taswira na majazanda yanayowakilisha vyema hisia zinazoelezwa katika dhamira mbalimbali. Mshairi amefaulu sana kuzitumia mbinu na miundo kadha wa kadha ili kuyajadili maswala yanayohusu hali na mazingira tafauti tafauti katika maisha ya binadamu. Anayazungumza maswala mazito mazito, lakini kwa namna ambayo hayamuelemei msomaji wake. Badala yake, huwa yanamhimiza aendelee kuyasoma. Hata yale maswala makongwe, kwa mfano uhusiano baina ya wazazi na wana wao, yanajadiliwa kwa namna ya kuvutia na kuyafanya kana kwamba ndiyo mwanzo, yanaanza kujadiliwa sasa. Dotto Rangimoto ni mtunzi stadi. Na diwani hii ni mchango mkubwa katika ushairi wa Kiswahili wa zama zetu hizi. Selected from 30 entries, the manuscripts were read by 3 judges: Ken Walibora Waliaula, the Judge Chair, scholar and writer, Daulat Abdalla Said, Assistant Lecturer at the State University of Zanzibar (SUZA), and Ali Attas, Kiswahili and English teacher at the Ministry of Foreign Affairs, Japan. “In Mwanangu Rudi Nyumbani one encounters seductive metaphors and imagery, effectively and successfully used in diverse Kiswahili poetic forms and styles while articulating concerns that have direct bearing to the human condition. Dotto discusses weighty and serious matters but in a manner that doesn’t burden the reader. Instead he encourages one to keep on reading. He is a master of the craft. The volume is a great contribution to contemporary Kiswahili poetry.” – The judges, in recognizing the long Kiswahili literary tradition
...
link: https://mkukinanyota.com/product/mwanangu-rudi-nyumbani/
...
ISBN: 9987083749
Thank you to Mkuki na Nyota
1 copy
Available for free in Arusha! Request
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all