Methali za Kiswahili - Kitabu cha 3

Maana na Matumizi

Published Year: 2002

Book Thumbnail

Language: sw

Details: link: https://mkukinanyota.com/product/methali-za-kiswahili-kitabu-cha-3/

Summary: Hiki ni kitabu cha tatu katika mfululizo wa vitabu vya Methali za Kiswahili. Kina mambo yafuatayo: – Methali mia moja na ishirini na tano za Kiswahili; – Methali zenyewe zimepangwa kiabjadi; – Kila methali imeelezwa maana yake, hekima yake na jinsi inavyotumiwa. Ni kitabu muhimu kwa kila mwalimu na mwanafunzi wa Kiswahili, na kila aipendaye kugha hii.