Methali za Kiswahili - Kitabu cha 1
Maana na Matumizi
Mchapishaji Mkuki na Nyota Publishers
Mwaka 2006
sw
Kurasa 23
Hiki ni kitabu cha kwanza katika mfululizo wa vitabu vya Methali za Kiswahili. Kina mambo yafuatayo: Methali mia moja na ishirini na tano za Kiswahili Methali zenyewe zimepangwa kiabjadi Kila Methali imeelezewa maana yake, hekima yake na jinsi inavyotumiwa. Ni kitabu muhimu kwa kila mwalimu na mwanafunzi wa Kiswahili, na kila aipendaye lugha hii.
...
link: https://mkukinanyota.com/product/methali-za-kiswahili-kitabu-cha-1/
...
ISBN: 9987686508
Shukrani kwa Mkuki na Nyota Publishers
nakala 1
Kinapatikana Arusha bila malipo! Omba
Create an account to...
View comments and discuss this book!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.