Methali za Kiswahili - Kitabu cha 1
Maana na Matumizi
Publisher Mkuki na Nyota Publishers
Published 2006
sw
Pages 23
Hiki ni kitabu cha kwanza katika mfululizo wa vitabu vya Methali za Kiswahili. Kina mambo yafuatayo: Methali mia moja na ishirini na tano za Kiswahili Methali zenyewe zimepangwa kiabjadi Kila Methali imeelezewa maana yake, hekima yake na jinsi inavyotumiwa. Ni kitabu muhimu kwa kila mwalimu na mwanafunzi wa Kiswahili, na kila aipendaye lugha hii.
...
link: https://mkukinanyota.com/product/methali-za-kiswahili-kitabu-cha-1/
...
ISBN: 9987686508
Thank you to Mkuki na Nyota Publishers
1 copy
Available for free in Arusha! Request
Create an account to...
View comments and discuss this book!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.