You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Uwazi na Ukweli: Kitabu cha Tano
Rais wa watu anazungumza na wananchi
Publisher Mkuki na Nyota Publishers
Published 2003
sw
Hiki ni kitabu cha Tano na cha mwisho katika mfululizo wa vitabu vya Uwazi na Ukweli. Mfululizo huu wenye hotuba za kila mwisho wa mwezi za Rais wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Benjamin W. Mkapa, una malengo makuu matatu:Kwanza ni kufanya hotuba hizo kuwa chanzo kimojawapo cha elimu ya ziada, hasa kuhusu mambo mbalimbali ya kitaifa na kimataifa, sababu zake na mwelekeo wa mambo hayo. Pili, hotuba hizo zilikuwa sehemu mojawapo ya uwajibikaji wa Rais kwa Wananchi, kwani alikuwa na wajibu wa kuwajulisha yale aliyokuwa akifanya na sababu zake. Tatu, hotuba hizo ni mwendelezo wa juhudi za awamu zote za uongozi wa nchi yetu kuimarisha misingi ya utawala bora. The title which translates as "Truth and openess : the people's president talks to the people" is a collection of President Mkapa's speeches which address key development issues and his vision for Tanzania.
...
link: https://mkukinanyota.com/product/uwazi-na-ukweli-5/
...
ISBN: 9987449794
Thank you to Mkuki na Nyota Publishers
1 copy
Available for free in Arusha! Request
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all