You are now browsing in Swahili. Switch to English
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiswahili. Rudi kwa Kiingereza"
Lazime uingie akaunti ili kubadilisha wasifu wako au kuona wasifu wa wengine

Umeshafungua akaunti? Ingia

Ingia
Umesahau nenosiri lako?
Sijapata barua pepe ya kuthibitisha

Fungua akaunti mpya

View this book in English The History of Kiziba and Its Kings
Historia ya Kiziba na Wafalme Wake
Tafsiri ya Amakuru Ga Kiziba na Abamkama Bamu
Kimeandikwa na
Mchapishaji Mkuki Na Nyota Publishers
Mwaka 2020
sw
Kurasa 476
Historia ya Kiziba na Wafalme Wake: Tafsiri ya Amakuru Ga Kiziba na Abakama Bamu ni mchango mkubwa kwa fasihi ya kihistoria ya wenyeji wa Afrika ya Mashariki na Tanzania. Utafiti wa Mfalme Mutahangarwa wa Kiziba (aliyetawala 1903–1916) katika mwanzo wa karne ya ishirini ulikusanya mabingwa wasimulizi za mdomo kutoka katika koo za kifalme na zisizo za kifalme na shuhuda zao ziliandikwa na watu waliokwisha kujua kusoma na kuandika, akiwemo F.X. Lwamgira. Miongo mine baadaye matokeo ya utafiti huo yalipigwachapa kikatokea kitabu chenye kurasa 490 katika lugha ya Kihaya ambacho kilibaki bila kujulikana ingawa kilikuwa kitabu muhimu. Tafsiri hii muhimu itafanya historia ya Kaskazini Magharibi mwa Tanzania na Kusini Magharibi mwa Uganda kabla na mwanzoni mwa ukoloni iwafikie kwa mara ya kwanza wasomi wengi.
...
Kuhusu Waandishi Kimetafsiriwa na G.B. Kamanzi na kuhaririwa na Peter R. Schmidt Translator: G.B. Kamanzi Editor: Peter R. Schmidt Galasius B. Kamanzi ni msomi wa siku nyingi wa historia ya Kiziba na utamaduni wa Kihaya. Ni mwalimu na mtumishi wa serikali mstaafu. Ana shahada ya kwanza ya Ualimu wa Uchumi na Lugha kutoka Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam na Stashahada ya Juu ya Uongozi kutoka Chuo Kikuu cha Mzumbe. Ni mtunzi-mwenza wa Folktales from Buhaya. Peter R. Schmidt ni Profesa Mstaafu wa Anthrolopojia katika Chuo Kikuu cha Florida na ni Profesa wa Kuazima wa Anthropolojia Akiolojia katika Chuo Kikuu cha Pretoria, Afrika ya Kusini. Ametunga na/au kuhariri vitabu 15 kuhusu Historia ya Afrika, simulizi za mdomo, urithi na historia ya kuchimba, vingi kati ya hivyo vikihusu Wahaya. African studies, Anthropology, Culture, Culture/People/Places, Democracy, East Africa, English, Forthcoming, Geography, History, Language, Politics
...
Kimetafsiriwa na
G.B. Kamanzi
ISBN: 9987083692
Shukrani kwa Mkuki na Nyota
nakala 1
Kinapatikana Arusha bila malipo! Omba
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all