Jiandikishe upate habari na vitabu bure!
Urithi wa Wanafisi
Kimeandikwa na Abel Mwanga
Mchapishaji E & D Limited
Mwaka 2016
sw
Kurasa 40
Sasa walikuwa watoto yatima.Kulikuwa hakuna wosia wa kusoma,kwa hiyo watoto hawakujua kuwa wameachiwa urithi wa shamba na nyumba. Je,Baba yao mdogo atawapa urithi huo kwa hiari kama alivyoahidi?Ni nini kitatokea kwa wanafisi? Soma hadithi hii uweze kujua mambo Fisi Madoa aliyowatendea watoto wa kaka yake.
...
link: https://vitabu.edvisionpublishing.co.tz/product/urithi-wa-wana-fisi/ Abeli Mwanga Children Swahili Titles
...
ISBN: 9987735207
Shukrani kwa E & D Limited
nakala 1
Kinapatikana Arusha bila malipo! Omba
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.