You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Kisiki Kikavu
Publisher E & D Vision
Published 2005
Pages 72
Kalabweli alitarajia kuwa angewatunza wazazi wake,dada na wadogo zake.Na kwa kweli kalabweli alifanikiwa katika biashara,akashamiri,akapenda na kupendwa,akaijua pesa……….. Kisiki kikavu kinatufunulia maisha ya Kalabweli ambayo yamebeba historia ya UKIMWI huko mkoani Kagera.Historia iliyoanzia katika umasikini uliofuatia vita vya Iddi Amin,hali iliyozaa biashara ya magendo na maisha ya starehe iliyokithiri.UKIMWI ukabisha hodi ukapatiwa majina;Juliana,Silimu;Ninja………… Kisiki Kikavu kinaweka wazi udhaifu wetu katika kukabili changamoto za maisha.Jinsi unavyozidi kusoma kisiki Kikavu ndivyo unavyoona kwamba historia,siasa,mila na uchumi vimeshikamana katika kuibua na kutandawaza janga la UKIMWI,na hapo unagundua ukavu wa fikra za mwanadamu. Hii ni riwaya ya aina yake inayochambua taathira za vvu,uelewa wa watu,ukubalifu wao na jinsi tabia zinavyobadilika kwa wakati ,na kwa rika .Ni riwaya ninayopendekeza isomwe na kila mmoja anayetaka kujua undani changamoto inayotukabili kuhusu UKIMWI Profesa F.E.M.K Senkoro, Mwanafasihi na Mkuu wa Idara ya Kiswahili , Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
...
link: https://vitabu.edvisionpublishing.co.tz/product/kiski-kikavu/ Fiction
...
ISBN: 9987411347
Thank you to E & D Vision
1 copy
Available for free in Arusha! Request
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all