You are now browsing in Swahili. Switch to English
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiswahili. Rudi kwa Kiingereza"
Lazime uingie akaunti ili kubadilisha wasifu wako au kuona wasifu wa wengine

Umeshafungua akaunti? Ingia

Ingia
Umesahau nenosiri lako?
Sijapata barua pepe ya kuthibitisha

Fungua akaunti mpya

Jiandikishe upate habari na vitabu bure!
Kijiji Chetu
Kimeandikwa na Ngalimecha Ngahyoma
Mchapishaji Tanzania Publishing House
Mwaka 1975
sw
Kurasa 45
Huu ni mchezo wa saba katika mfululizo wa vitabu vya michezo ya kuigiza kutoka Tanzania Publishing House. Michezo hii imeendelea kuburudisha na kuelimisha wasomaji wa rika zote tangu ilipochapishwa kwa mara ya kwanza. Kitabu hiki kama vingine katika mfululizo huu kimechaguliwa kufundishia Lugha na drama mashuleni. Kijiji Chetu ni mchezo wa kuigiza juu ya kijji chenye uongozi mbaya. Kama inavyoeleweka ngao ya wakulima ni ushirika. Wakati ushirika huo haupo na maendeleo nayo hayapatikani au yatakuwa mashakani. Mchezo huu unamulika baadhi ya sababu za msingi zinazozuia kukua Kwa ushiriki zikiwemo ubinafsj, ulaghai, uzembe na ufisadi. Mwandishi wa mchezo huu Bwana Ngalimecha Ngahyoma ni mkurugenzi wa vipindi maalumu Shirika la Utangazaji Tanzania-TBC, na ni mwandishi wa mchezo mwingine, uliochapishwa na Tanzania Publishig House uitwao Huka.
...
Language, Literature, Novel, Swahili, Tamthilia
...
ISBN: 9789976102413
Shukrani kwa Tanzania Publishing House
nakala 1
Kinapatikana Arusha bila malipo! Omba
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all