You are now browsing in Swahili. Switch to English
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiswahili. Rudi kwa Kiingereza"
Lazime uingie akaunti ili kubadilisha wasifu wako au kuona wasifu wa wengine

Umeshafungua akaunti? Ingia

Ingia
Umesahau nenosiri lako?
Sijapata barua pepe ya kuthibitisha

Fungua akaunti mpya

Jiandikishe upate habari na vitabu bure!
Wasifu Wa Siti Binti Saad
Kimeandikwa na Shaaban Robert
Mchapishaji Mkuki na Nyota
sw
Kurasa 76
Kwa zaidi ya miaka kumi na tano vitabu vya mwandishi na mshairi maarufu kushinda wote katika jamii za Waswahili kote Afrika ya Mashariki na kati, Marehemu Sheikh Shaaban Robert, havikupatikana Tanzania. Sababu ya kukosekana kwa vitabu hivyo ni kuwa kampuni ya kigeni iliyovichapisha iliamua kuacha kuvichapisha kwa sababu haikulipwa kwa fedha za kigeni jambo lililosababishwa na hali mbaya ya uchumi. Athari za kupotea kwa vitabu vya sheikh Shabaan Robert katika miaka hiyo ni kwamba Watanzania wengi hasa wale wenye umri wa chini ya miaka thelathini, hawamjui mwandishi huyu maarufu na hawakulelewa katika mazingira ya utajiri wa maandishi yake ambayo bila shaka yoyote ni mfano pekee wa utajiri wa urithi wa utamaduni watu. Kwa kuvichapisha vitabu vya Marehemu Sheikh Shaaban Robert, tunawakaribisha tena Watanzania, hasa vijana, kuvisoma, kuburudishwa na kufunzwa na yale aliyoyaandika kwa sanaa na kipaji adimu.
...
Culture, Language, Literature, Novel, Secondary, Swahili, Textbook, University
...
ISBN: 9976973098
Shukrani kwa Mkuki na Nyota
nakala 1
Kinapatikana Arusha bila malipo! Omba
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all