Jiandikishe upate habari na vitabu bure!
Siri za Maisha
Kimeandikwa na Emanuel Mbogo
Mchapishaji E & D Vision Pub.
Mwaka 2010
sw
Kurasa 79
Kama wewe ni mwanafunzi , mfanyabiashara, mwalimu, profesa, msanii, mkulima, fundi, mwanariadha au mama wa nyumbani, unao uwezo wa kubadilisha Maisha yako katika Nyanja yoyote ile kama unataka. Unaweza ukakataa kusota na kubaki hapo ulipo, kwa kupambana na changamoto ya aina ile ili uweze kupata ushindi maishani. Kitabu hiki kinatoa mwongozo, kanuni , mbinu na maarifa ya kukuwezesha kuibua vipaji na uwezo mkubwa uliojificha ndani yako na kukufikisha juu ya kilele cha mafanikio. Wakati ni huu, unao uwezo wa kubadilisha Maisha yako. Fanya hivyo sasa!
...
ISBN: 9987521436
Shukrani kwa E & D Vision Pub.
nakala 7
Kinapatikana Arusha bila malipo! Omba
Create an account to...
View comments and discuss this book!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.