You are now browsing in Swahili. Switch to English
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiswahili. Rudi kwa Kiingereza"
Lazime uingie akaunti ili kubadilisha wasifu wako au kuona wasifu wa wengine

Umeshafungua akaunti? Ingia

Ingia
Umesahau nenosiri lako?
Sijapata barua pepe ya kuthibitisha

Fungua akaunti mpya

Jiandikishe upate habari na vitabu bure!
Mwongozo wa Uanzishwaji na Usimamizi wa Hifadhi za Nyuki na Manzuki
Mchapishaji Idara ya Misitu na Nyuki, Mji wa Serikali Mtumba, Mtaa wa Waziri Mkuu, Dodoma
Mwaka 2021
sw
Kurasa 55
Mwongozo huu umejikita hasa kwenye: hatua za uanzishaji na usimamizi wa Hifadhi za Nyuki na manzuki ukijumuisha; ucha guzi wa eneo kwa ajili ya kuanzisha manzuki, maandalizi ya mpango wa usimamizi, aina za manzuki na uwezo wa kuhimili makundi ya nyuki kwa eneo, ukaguzi wa manzuki, kuzuia na kudhibiti wadudu wa nyuki, kuzuia magonjwa ya nyuki, utundi kaji wa mizinga ya nyuki, ulinzi wa manzuki dhidi ya moto na utunzaji wa kumbukumbu.
...
Idara ya Misitu na Nyuki, Mji wa Serikali Mtumba, Mtaa wa Waziri Mkuu, S.L.P 1351, DODOMA.
...
Shukrani kwa Idara ya Misitu na Nyuki, Mji wa Serikali Mtumba, Mtaa wa Waziri Mkuu, Dodoma
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all