Haki za Uraia Nchini Kenya

Faster download
Download 4.0 MB

Published Year: 2018

Book Thumbnail

Language: sw

Summary: Kipengele cha 15 katika azimio la ulimwengu juu ya haki za binadamu kinasema kuwa: Kila mtu anahaki ya kuwa raia na kuwa hakuna atakayenyimwa uraia kiholela au kunyimwa haki ya kubadilisha uraia wake. Jinfunze:

  • Ni mambo yapi ninayostahiki kama raia wa Kenya?
  • Ni nani ambaye ni raia au anaweza kuwa raia wa Kenya?
  • Serekali inaweza kuninyima stakabadhi za kujitambulisha?
  • Ni kwanini mtoto wangu anahitajia cheti cha kuzaliwa?
  • Ni kwanini nahitajia kitambulisho?
  • Ninawezaje kupata paspoti?
  • Kwa nini nahitaji cheti cha kifo?
  • na zaidi!