View this book in English Citizenship Rights in Kenya
Haki za Uraia Nchini Kenya
Mwaka 2018
sw
Kurasa 13
Pakua
4.0 MB
Kipengele cha 15 katika azimio la ulimwengu juu ya haki za binadamu kinasema kuwa: Kila mtu anahaki ya kuwa raia na kuwa hakuna atakayenyimwa uraia kiholela au kunyimwa haki ya kubadilisha uraia wake. Jinfunze:
  • Ni mambo yapi ninayostahiki kama raia wa Kenya?
  • Ni nani ambaye ni raia au anaweza kuwa raia wa Kenya?
  • Serekali inaweza kuninyima stakabadhi za kujitambulisha?
  • Ni kwanini mtoto wangu anahitajia cheti cha kuzaliwa?
  • Ni kwanini nahitajia kitambulisho?
  • Ninawezaje kupata paspoti?
  • Kwa nini nahitaji cheti cha kifo?
  • na zaidi!
...
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.