Ukweli Ni Kitu Gani?
Tujibu Swali La Pilato
Kimeandikwa na Sebastian Nzabhayanga
Mchapishaji CreateSpace Independent Publishing Platform
Mwaka 2018
sw
Kurasa 200
Kitabu hiki, "Ukweli ni Kitu Gani," kinatondoa [fafanua kwa umakini] dhana Ukweli, kwa mifano tosha kumsaidia msomaji kuelewa anachosoma. Nimefafanua shida zinazotokea katika kufikiri na kuongeza hata kuleta mizozo na mitafaruku katika jamii. Sehemu ya Hairakia ya Ukweli imeeleza vema mlinganisho wa vipengee vya ukweli kwa namna ambayo sidhani kama umepata kuiona kwa Kiswahili. Nimeandika pia kitabu kingine kwa mtindo kama huu, na wasomaji wamekipenda. Naamini nawe utakipenda kitabu hiki na kitakuwa cha manufaa. Waweza kunipa maoni yako kupitia: sebba-mn@live.com
...
ISBN: 1724920464
Shukrani kwa CreateSpace Independent Publishing Platform
nakala 1
Kinapatikana Arusha bila malipo! Omba
Kimechangiwa na
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.