You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Roho Mtakatifu na Maisha Mapya
Written by Norvald Yri
Publisher Scripture Mission, Tanzania na Kenya
Published 1984
sw
Pages 51
Je, unayafahamu mambo ya Roho Mtakatifu? Je, ninaye Roho Mtakatifu? Je nimebatizwa na Roho? Maswali kama haya yanaulizwa mara kwa mara, hasa na vijana. Ni rahisi kujichunguza wenyewe na mioyo yetu ili kujaribu kujua juu ya mambo ya aisha ya kiroho. Sijaeleza kila jambo juu ya Roho Mtakatifu na Yesu Kristo. Tumepata habari juu ya kuja kwake. Siku hizi tunasikia habari tofauti juu ya Roho Mtakatifu na huduma yake, hata sio rahisi kujua jambo lipi ni la kweli au la uongo. Je wakristo wote wamepata karama za kiroho, au la? Nafikiri umesikia wale ambao wanakaza "kunena kwa lugha," matendo ya miujiza na kadh., kuwa karama za kiroho muhimu zaidi kuliko zote zingine. Tunaposoma Agano jipya, tunaona msimamo huu kuwa ni wa Neno la Mungu? Nataka kwa neema ya Mungu, kuyaeleza mambo ya Roho Mtakatifu kwa msingi wa ufuno wa Mungu katika Biblia. Lengo langu pia ni kwamba watu wengi wafahamu maana ya maisha mapya ya Kikristo.
...
Mwandishi wa Kitabu hiki, Mch. Dr. Norvald Yri ni profesa wa Theologia ya Biblia katika chuo cha Theologia Makumira, Tanzania. Amejaribu dukuduku nyingi za wakristo kuhusu Roho Mtakatifu, uamsho, kuongozwa na kuendesha katika Roho, karama za Roho, na kadhalika. Kitabu hiki kinafaa kama kitabu cha kurejea (textbook) katika shule za Sekondari na vyuo mbalimbali vya Biblia, na hasa sharikani na mahali ambapo Biblia inasomwa.
...
Thank you to James E. Sharp
1 copy
Available for free in Arusha! Request
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all