You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Njoo Roho Mtakataifu
Ufanize Upya Maumbile Yote
Publisher Beeline Printing Ltd., Nairobi
Published 1991
sw
Pages 53
Kufatana na Msingi ambao makanisa yote yenye uanachama katika Baraza la Makanisa Duniani yamidhini, Baraza hilo ni "ushirika wa makanisa yanayomkiri Bwana Yesu Kristo akiwa Mungu na Mwokozi kufuatana na Maandiko Matakatifu, na kwa hiyo yanayojaribu kwa pamoja kutekeleza wito wao ulio mmoja kwa utukufu wa Mungu aliye mmoja, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu." Tumaini (maono ya umoja wa makanisa halikutoweka kupitia karne nyingi za kutengana na kugombana kati ya Wakristo. lakini mwishoni mwa karne ya kumi na tisa, watu wa sehemu kadhaa walisikia wito wa kuteneneza mitengano, ambayo wakati wote imedhuru ushuhuda wa Kikristo. Ndio mwanzo wa oikumene wa siku hizi ambao ushirika wa pekee wa Baraza la Makanisa Duniani una mizizi yake.
...
Toleo la Kiswahili, CCT Tanzania
...
Translated by
Judie Mwarabu
Thank you to Beeline Printing Ltd., Nairobi
1 copy
Available for free in Arusha! Request
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all