Nilichojifunza... What We Learned at the Library of Elimu Yetu

Faster download
Download 58.9 MB

Published Year: 2022

Book Thumbnail

Language: multiple

Details: This is a scanned edition with a large file size (about 60MB). We hope to type it and republish with a smaller filesize soon! Poleni

Summary: What can we learn from books? Each person finds their own lessons in a book. You can read with friends and find that they learned something different from the book. You can read a great book many times and learn something new each time. This book is a collection of reflections from students of Elimu Yetu about what they learned at their library. Unaweza kujifunza nini kupitia vitabu? Watu hupata masomo tofauti tofauti katika kitabu kimoja. Ukisoma na marafiki, utaona kila mmoja amejifunza somo lake. Ukisoma kitabu kizuri mara nyingi utajikuta umejifunza kitu kipya kila mara. Kitabu hiki ni mkusanyiko ya maoni kutoka wanafunzi wa Elimu Yetu kuhusu mafunzo waliyopata kwa kusoma katika Maktaba yao.