You are now browsing in Swahili. Switch to English
In Swahili: "Sasa unavinjari kwa Kiswahili. Rudi kwa Kiingereza"
Lazime uingie akaunti ili kubadilisha wasifu wako au kuona wasifu wa wengine

Umeshafungua akaunti? Ingia

Ingia
Umesahau nenosiri lako?
Sijapata barua pepe ya kuthibitisha

Fungua akaunti mpya

Jiandikishe upate habari na vitabu bure!
Chuo cha Kwanza cha Kufanyia Hesabu
Kimeandikwa na Edward Steere
Mwaka 1876
sw
Kurasa 94
Pakua
19.0 MB
Inaruhusiwa kunakili, kusambaza na kutafsiri bila malipo.
Kitabu hiki kinafundisha jinsi ya kuandika hesabu na jinsi ya kujumlisha , kutoa, kuzidisha na kugawanya. Mwandishi Edward Steere (1828 - 26 Agosti 1882) alikuwa mwanatheolojia Mwanglikana kutoka Uingereza aliyepata kuwa askofu wa Zanzibar akikumbukwa kuwa kati ya Wazungu wa kwanza waliokusanya matini za Kiswahili na kutunga sarufi ya lugha hiyo.
...
Shukrani kwa Archive.org
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all