View this book in English General History of Africa - Volume 4 - Africa from the Twelfth to the Sixteenth Century
Jiandikishe upate habari na vitabu bure!
Historia Kuu ya Afrika - Juzuu 4 - Afrika kuanzia Karne ya Kumi na Mbili hadi ya Kumi na Sita
Juzuu Lililofupishwa
Kimeandikwa na
Mchapishaji UNESCO, Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili (TUKI)
Mwaka 1999
sw
Kurasa 294
Pakua 10.6 MB
Historia Kuu ya Afrika (kwa Kiingereza w: General History of Africa (GHA)) ni mradi wa UNESCO ulioanzishwa tangu mwaka 1964. Shabaha ya mradi ni kusahihisha “maelezo mapotovu yaliyokuwa yakieleza umaskini na ushenzi katika bara hili” kwa “kufanya uchunguzi mwafaka wa habari usiokuwa na upendeleo” . Uliona Historia ya Afrika “imeharibiwa mno kutokana na kutokujua na ubinafsi wa watu walioiandika” [1] . Awamu ya kwanza hadi mwaka 1999 ilikuwa kuandika na kutoa vitabu 8 kuhusu Historia Kuu ya Afrika. Awamu ya pili tangu mwaka 2009 inalenga kuandaa muhtasari wa historia na vitabu pamoja na misaada kwa walimu wa shule.
...
ISBN: 92-3-102496-5
Shukrani kwa UNESCO Digital Library
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.