View this book in English General History of Africa - Volume 2 - Ancient Civilizations of Africa
Historia Kuu ya Afrika - Juzuu 2 - Staarabu za Kale za Afrika
Juzuu Lililofupishwa
Kimeandikwa na Gamal Mokhtar (Mhariri)
Mchapishaji UNESCO, Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili (TUKI)
Mwaka 1992
sw
Kurasa 420
Pakua
13.3 MB
Inaruhusiwa kunakili, kusambaza na kutafsiri bila malipo.
Historia Kuu ya Afrika (kwa Kiingereza w: General History of Africa (GHA)) ni mradi wa UNESCO ulioanzishwa tangu mwaka 1964. Shabaha ya mradi ni kusahihisha “maelezo mapotovu yaliyokuwa yakieleza umaskini na ushenzi katika bara hili” kwa “kufanya uchunguzi mwafaka wa habari usiokuwa na upendeleo” . Uliona Historia ya Afrika “imeharibiwa mno kutokana na kutokujua na ubinafsi wa watu walioiandika” [1] . Awamu ya kwanza hadi mwaka 1999 ilikuwa kuandika na kutoa vitabu 8 kuhusu Historia Kuu ya Afrika. Awamu ya pili tangu mwaka 2009 inalenga kuandaa muhtasari wa historia na vitabu pamoja na misaada kwa walimu wa shule.
...
CC BY-SA 3.0 IGO
...
Kimetafsiriwa na
Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili (TUKI)
ISBN: 92-3-102585-6
Shukrani kwa UNESCO Digital Library
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.