Elimu ya Kujitegemea
Faster downloadPublished Year: 1967

Language: sw
Summary: Hotuba hii ilitolewa Machi 1967 na Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Julius K. Nyerere. “Ni wazi wakati umefika sasa tufikirie sana juu ya swali hili: ‘Mpango wa Elimu Tanzania umewekwa kwa sababu gani-shabaha yake ni nini?” -Julius K. Nyerere 1967