You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Mbinu za Ujifunzaji kwa Wote
Mbinu za Ufundishaji na Ujifunzaji kwa Walimu wa Shule za Msingi na Madarasa ya Awali kwa Kuzingatia Mfumo wa Elimu Jumuishi
Written by Tusome Pamoja
Publisher USAID, TET
Published 2020
sw
Matini hii inaongozwa na misingi ifuatayo: • Watoto wote wana uwezo wa kujifunza. • Wanafunzi wanaweza kupata changamoto za kujifunza kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kutoifahamu vyema lugha ya kufundishia, ugonjwa, njaa, hofu, kufanyiwa vitendo vya udhalilishaji/ukatili nyumbani na mashuleni, kuwa na ulemavu na mengineyo ambayo hayajabainishwa hapa. • Si wakati wote unaweza kutambua kama mtu ana ulemavu kwa kumwangalia tu. • Usimwandike mtoto kama mwenye ulemavu, bali bainisha vifaa na mahitaji yanayoweza kutumika kumsaidia mtoto huyo kujifunza. Elimu Jumuishi ni nini? Ili kuzielewa mbinu jumuishi za ufundishaji na ujifunzaji katika elimu jumuishi, ni muhimu kwanza kuelewa maana ya elimu jumuishi. Elimu jumuishi inamaanisha kuwaelimisha wanafunzi wote, kulingana na mahitaji yao katika darasa moja...
...
Thank you to USAID, TET
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all