Publisher 21st Century Basic Education Program (TZ21)
Washiriki waweze kufanya yafuatayo:
1. Kutafakari na kushirikishana kuhusu mafanikio ya mafunzo ya ufunzaji na ushauri, na vikwazo vilivyojitokeza.
2. Kupokea mrejesho kuhusu maendeleo na kupata ushauri wa jinsi ya kukabiliana na vikwazo.
3. Kuelewa kuwa ufunzaji unapaswa kuwa ni mlolongo wa shughuli zinazolenga kujenga stadi muhimu za kufundisha ambazo mwalimu anatakiwa kuwa nazo
4. Kuweza kuandaa mbinu za kufunza zitakazofanikisha mchakato wa ufunzaji wa maarifa na stadi muhimu kwa mwalimu
5. Kuandaa mpango bora wa ufunzaji wa walimu kwa ajili ya utekelezaji katika shule zao.
...