You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Mwongozo wa Mafunzo ya Kuimarisha Kusoma katika Mtaala
Publisher 21st Century Basic Education Program (TZ21)
Published 2015
sw
Download
1.1 MB
Walimu waweze: 1. Kutafakari kuhusu maendeleo na changamoto za kusoma, kuandika na kutumia msamiati kujifunza maudhui ya masomo mengine darasani. 2. Kujifunza zaidi jinsi ya kupambana na changamoto za ufundishaji zinazowakabili. 3. Kujifunza na kufanyia mazoezi mbinu mpya za kusoma, kuandika na kutumia msamiati katika kujifunza maudhui ya masomo mengine. 4. Kuchunguza dhana ya matini inayoendana na ngazi/uwezo wa msomaji. 5. Kuandika matini mpya za kufundishia katika ngazi mbalimbali kulingana na mahitaji tofauti tofauti ya kujifunza. 6. Kutumia matini mpya kuandaa masomo ya kufundisha maudhui kwa kutumia mbinu za kusoma, kuandika na msamiati.
...
Mafunzo haya ya Kuimarisha Usomaji katika Mtaala kwa walimu wa darasa 3 na 4 ni matokeo ya msaada wa watu wa Amerika kupitia ufadhili wa Shirika la Misaada ya Kimataifa ya Mendeleo la Marekani (USAID) kwa Programu ya Elimu ya Msingi ya TZ21. Msaada huu wa watu wa Marekani unalenga kujenga uwezo wa watoto wa Tanzania kielimu. Msaada huu unakusudia kuboresha stadi za usomaji za wanafunzi katika hatua za awali wanapoanza kusoma shuleni ili kuinua matokeo mazuri ya usomaji yanayotarajiwa kwa watoto wote wa shule
...
Thank you to 21st Century Basic Education Program (TZ21)
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all