Publisher 21st Century Basic Education Program (TZ21)
Walimu waweze:
1. Kutafakari kuhusu maendeleo na changamoto za kusoma, kuandika na kutumia msamiati kujifunza maudhui ya masomo mengine darasani.
2. Kujifunza zaidi jinsi ya kupambana na changamoto za ufundishaji zinazowakabili.
3. Kujifunza na kufanyia mazoezi mbinu mpya za kusoma, kuandika na kutumia msamiati katika kujifunza maudhui ya masomo mengine.
4. Kuchunguza dhana ya matini inayoendana na ngazi/uwezo wa msomaji.
5. Kuandika matini mpya za kufundishia katika ngazi mbalimbali kulingana na mahitaji tofauti tofauti ya kujifunza.
6. Kutumia matini mpya kuandaa masomo ya kufundisha maudhui kwa kutumia mbinu za kusoma, kuandika na msamiati.
...