You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Ufundishaji wa Kusoma - Kitini cha Mafunzo ya Walimu
Toleo la Kiswahili, Darasa la 1-2
sw
Kitini hiki cha mafunzo ya mwalimu anayefundisha Kiswahili darasa la kwanza na pili ni kwa ajili ya kukuwezesha wewe mwalimu kufahamu ufundishaji bora ni upi, na wanafunzi wanajifunza kwa kufuata mchakato upi. Hali kadharika, kitini hiki kitamsaidia mwalimu kuandaa somo lake vizuri kwa kuzingatia mzunguko wa somo, ufundishaji na ujumuisho hususan katika kufundisha usomaji. Soma kwa makini kitini hiki sanjari na mwongozo wa kufundisha usomaji wa mwalimu ili kupata ufafanuzi wa mawanda na mtiririko wa masomo kwa darasa husika. Baada ya mafunzo andaa ratiba ya kupitia kitini hiki na mwongozo wa kufundisha usomaji kwa makini.
...
Kitini hiki cha mafunzo ya usomaji kwa walimu kimechapishwa na TZ21 kwa msaada wa watu wa Marekani kupitia shirika la msaada la Marekani (USAID) na kuwezeshwa na Creative Associates International.
...
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all