Publisher Open Society Initiative for East Africa
OSIEA inakuza ushiriki wa wananchi katika utawala wa kidemokrasia, utawala wa sheria, na kuheshimu haki za binadamu na kutoa misaada, kuanzisha programu na kuwaleta pamoja viongozi mbalimbali wa vikundi na asasi za kiraia
Hili ni toleo la tatu la Jarida la Sauti Zetu linalotolewa kila mwaka na shirika la Open Society Initiative for East Africa (OSIEA). Shirika la OSIEA huandaa jarida hili kwa malengo ya kutoa fursa ya ushiriki wa wazi na makini kwa wananchi katika masuala muhimu kwa jamii ya kuendeleza maadili ya uwazi nchi za Afrika Mashariki
...