COBIHESA Trust Fund,
P.O.BOX 65170,
Dar es Salaam, Tanzania
cobihesa2003@yahoo.com
Toleo la Kwanza la Kiswahili: 2010
ISBN 9987 -580-26-2
© COBIHESA Trust Fund na Hesperian Foundation.
Haki zote zimehifadhiwa. COBIHESA Trust Fund inaruhusu mashirika na
asasi zisizo za kibiashara kunakili au kurudufu sehemu au kitabu kizima
kwa ajili ya elimu kwa umma, na kwa msingi usio wa kibiashara. Hata
hivyo, watu wote, asasi au idara zenye nia ya kuchapisha kitabu hiki kwa
malengo yoyote yale wanatakiwa kwanza kupata idhini katika maandishi
kutoka COBIHESA Trust Fund.
Michoro: Imenakiliwa, kwa idhini ya Hesperian Foundation, kutoka A
Community Guide to Environmental Health, ISBN 978- 0 -942364- 56 -9,
Jeff Conant na Pam Fadem , 2008, Hesperian Foundation. Michoro mingine
imechorwa na Steven Kipili
Wasanifu wa jalada: Dominic Kubhota dkubhota@hotmail.com, na Mary
S. Kihiyo. Picha za kwenye jalada zimetoka COBIHESA na zingine kwa
Dominic Khubota.
Mpiga chapa na msanifu wa kurasa: Mary Simon Kihiyo
Wahariri: David Katusabe na Lucy Mlazi
...