You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Janga Sugu la Wazawa
Written by Gabriel Ruhumbika
Publisher E & D Limited
Published 2002
sw
Pages 194
Hatimaye kila mahali kote nchini wananchi wakaogopa zaidi hilo janga sugu la jamii yao kuliko kitu kigine chochote hapa duniani.Kuliko radi na tetemeko la ardhi na mafuriko ya maji na maafa mengine ya asili.Kuliko magonjwa ya hatari kama ndui na tauni na kipindupindu na UKIMWI.Kuliko wanyama wakali wa porini.Kuliko majambazi na majizi yenye silaha.Kuliko hata vita.Hilo janga kuu na sugu la jamii ya mtu mweusi likawa tishio kubwa kwa uhai wa binadamu na usalama wake kote Tanzania kuliko hata mauaji ya halaiki,kwani sasa liliua halaiki kwa halaiki za watu wakati wote, “Lakini pia kila mmoja wao aliamini kwamba penye nia kuna njia.Na kwamba mradi vita inaendelea ushindi hatimaye utapatikana.Na alijua kwamba harakati za vita hiyo tayari zitamaanisha mwanzo wa jamii mpya”
...
link: https://vitabu.edvisionpublishing.co.tz/product/janga-sugu-la-wazawa/
...
ISBN: 9987622313
Thank you to E & D Limited
1 copy
Available for free in Arusha! Request
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all