Hadithi Isiyo na Mwisho
Kimeandikwa na A. H. Mjaka
sw
Mfalme Tayari ni mpenda hadithi sana. Pia ana binti aitwaye Hafidha ambaye naye kama baba yake, ni mlevi wa hadithi sana. Siku moja anamwambia baba yake kuwa anapenda mwanamume atakayesimulia hadithi isiyo na mwisho ili amuoe. Mfalme anatangazia wanaume kujaribu bahati yao. Je, atapatikana msimulizi wa hadithi isiyo na mwisho na kumuoa binti mfalme? Basi fuatana na mtunzi Abdu Haji Mjaka, ili kuyajua haya.
...
link: https://mkukinanyota.com/product/hadithi-isiyo-na-mwisho/
...
ISBN: 9987686141
nakala 1
Kinapatikana Arusha bila malipo! Omba
Una maoni juu ya kitabu hiki?
Toa maoni yako ili kuanzisha majadiliano!
Kabla ya kuona na kutoa maoni, lazima uingie kwenye akaunti. Kutengeneza akaunti ni rahisi na bure,na huchukua chini ya dakika 1!
Vitabu vinavyohusiana: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.