Hawala ya Fedha
Written by Amandina Lihamba
Publisher Mkuki na Nyota
Published 1980
sw
Pages 48
Tamthilia hii, ambayo inatokana na riwaya, The Money Order, iliyoandikwa na mwandishi mashuhuri wa Senegal, Sembene Ousmane, inajadili mfumo wa umangi–meza uliorithiwa na nchi nyingi za Afrika kutoka kwa Wakoloni pamoja na athari zake kwa jamii. Ibrahim Chande anafurahi sana anapopokea hawala ya shilingi 2,000/= kutoka kwa mpwaye aliyeko masomoni Landani. Lakini anashindwa kuzuia habari hizo nzuri kuwafikia majirani na watu wenye maduka mtaani kwao. Wote wanamzengea wakitazamia chochote kutokana na fedha hizo, licha ya kwamba zote si zake. Hata hivyo, matatizo ya urasimu yanajiingiza kati yake na fedha hizo.
...
Thank you to Mkuki na Nyota
1 copy
Available for free in Arusha! Request
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.