You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Tiba Ya Ugonjwa Wa Mawazo
Written by S. L. Makonga
Publisher Mkuki na Nyota
Published 2015
sw
Pages 93
Mawazo yana nafasi kubwa sana katika maisha ya binadamu,yanaweza kumjenga vyema mtu au kumharibia maisha yake yote. Mara nyingi tunajiwekea mawazo vichwani mwetu ambayo hutufanya tujione wadhaifu na duni, lakini mawazo hayohayo sio sahihi na kama tu tukipata tiba iliyotabibu twaweza kuyashinda mawazo hayo potofu. Tiba ya Ugojwa a Mawazo ni kitabu kitakacho kufunza juu yamawazo potofu na kakuonesha athari zake, lakini pia kukupa suluhu/tiba ya mawazo haya yasiyojenga na yanayoweza sababisha madhara makubwa katika maisha yetu. Katika jamii zetu wapo watu wengi sana ambao kwasababu fulani wamekua wakijiona wadhaifu na kudhani watu fulani ni bora na wanaweza zaidi yao. Si kweli! Kila mtu ana uwezo mkubwa wa kuwa atakavyo na uwezo huu mkubwa na waajabu upo katika mawazo ya kila mwanadamu; mawaze yako yakiwa chanya na matokeo yake huwa chanya na vivyo hivyo mawazo yakiwa hasi matokeo yake ni hasi. Kwa makusudi kabisa mwandishi amezitumia methali tuzitumiazo kila siku kama vichwa vya insha ili kuonesha jinsi methali hizo zinavyohusiana na mawazo yetu na zinavyoweza kuwa chachu ya tiba ya mawazo potofu. Kusudio la kitabu hiki ni kuwasaida watu wa rika mbalimbali na jinsia zote, wasomi na wasio wasomi, jinsi ya kuitumia guvu ya ajabu iliyo katika mawazo kusababisha matokeo mazuri na ya ajabu katika maisha yetu. Hivyo yeyote atakaye amua kuzingatia ushauri na mafundisho haya muhimu katika kitabu hiki, ndiye tu ayeweza kunufaika.
...
ISBN: 9987082998
Thank you to Mkuki na Nyota
1 copy
Available for free in Arusha! Request
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all