Sign up for news and free books by email!
Makuadi wa Soko Huria
Written by C. S. L. Chachage
Publisher E & D Limited
Published 2002
sw
Pages 287
Makuadi wa Soko Huria ni hadithi ya Kihistoria yenye ukweli unaodhihirika leo.Inatoa taswira ya mapambano ya Watanzania katika kujipatia uhuru na amani ya kweli.Mapambano dhidi ya ukoloni na baadaye dhidi ya baadhi ya watu wao walioteka nyara uhuru wa wengi na kushirikiana na wageni kupora rasilimali ya nchi kwa kisingizio cha soko huria.Hadithi inaweka bayana uozo na udhalimu uliojificha katika mfumo wa soko huriatamaa ya pesa na nguvu za kiuchumi,ubinafsi na ukandamizaji.Pia ni hadithi ya matumaini.Inatuonyesha jinsi watu wasivyokubali kukandamizwa,wasivyokata tamaa.Makuadi wa Soko Huria inatukumbusha kwamba utu wa binadamu hauvunjwi kwa pesa wala kwa mabavu.
...
link: https://vitabu.edvisionpublishing.co.tz/product/1795/
...
ISBN: 9987622453
Thank you to E & D Limited
1 copy
Available for free in Arusha! Request
Create an account to...
View comments and discuss this book!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all

No Books Found

Based on the filters you selected, there are currently no books.