You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Barua Ndefu Kama Hii
Written by Mariama Ba
Publisher Mkuki na Nyota Publishers
Published 2011
sw
Pages 122

Ramatoulaye, mwanamke Msenegali ameolewa na Mody, mtu mzito serikalini. Baada ya miaka mingi ya ndoa Modu anaoa mke mwingine, msichana mdogo mwenye umri sawa na wa binti yake. Ramatolaye anasahauliwa; pesa na mapenzi vinahamia kwa mke mdogo. Modu anakufa katika ajali ya gari. Nani atakayerithi mali za marehemu? Halafu kuna umati uliokuja kwenye kilio ambao “lazima ulishwe na upewe pesa kwa heshima ya marehemu”. Mariana Ba, mwandishi wa riwaya hii, alikuwa wa kwanza kupewa tuzo ya Noma mwaka 1980. Riwaya hii imetafsiriwa katika lugha kumi na nane na umaarufu wake unazidi kukua.

...

The original publication was in French, Une si longue lettre; and this is the Swahili translation from the English, translated by the late Professor Maganga. Une si longue lettre is a classic of the African canon, winning the first Noma Award for Publishing in Africa in 1980, and translated into 17 other languages. 

...
ISBN: 9976973217
Thank you to Mkuki na Nyota Publishers
1 copy
Available for free in Arusha! Request
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all