You need to login to view profiles OR to update your profile

Have an account? Login

Log in
Forgot your password?
Didn't receive your confirmation email?

Create a new account

Sign up for news and free books by email!
Adili na Nduguze
Written by Shaaban Robert
Publisher Mkuki na Nyota Publishers
Published 2010
sw
Pages 51
“Ingawa kitabu hiki kimetaja habari za malaika na majini, na viumbe wa ajabu, hiyo ni kwa sababu ya utunzi tu. Mambo hasa yaliyotiliwa mkazo ndani yake ni ardhi na mimea yake; machimbo na hazina zake; mifugo na mazao yake; biashara na faida yake; safari na manufaa yake; utajiri na umaskini na ndugu na matendo yao. Mambo haya huwahusu watu wengi kama si dunia nzima.” – SHAABAN ROBERT “Maudhui mazito yaliyobebwa na hadithi hii ya kusisimua yamekifanya kitabu iki kitumike tena na tena katika kufundisha Fasihi ya Kiswahili katika ngazi ya Elimu ya Sekondari.” – MHARIRI First published in 1980, this new edition tells of angels and devils and other extraordinary creatures. It is a vehicle of invention for issues in the book which are about land and its plants, mining and its value, livestock and agriculture, commerce, travel, richness and poverty, the rich and their wealth and relations between siblings. A moving characterization of people in different pursuits of wealth and welfare. About the author Shaaban Robert is to the Swahili language what Shakespeare was to English. Acclaimed as the national poet, his publications have always been the touchstone of beauty of language, purity of spirit, and deep wisdom informed by African and Swahili culture in particular, but imbued with respect for and understanding of other cultures. Most prominent of his work is Kusadikika (To be believed), an allegorical work of an imaginary country or state in which injustices are perpetrated against all notions of justice, law and humanity. Published at the height of colonial occupation in Tanzania. Shaaban Robert kwa lugha ya Kiswahili ni sawa na Shakespeare kwa lugha ya Kiingereza. Akikubalika kama msahiri wa taifa, vitabu vyake daima vimekuwa kipimo cha juu cha uhondo wa lugha, usafi wa nia na hekima kutokana na utamaduni hususan wa Kiafrika na Waswahili lakini pia kwa jnsi alivyoelewa na kusheshimu tamadui nyingine. Katika vitabu vyake Kusadikika ndicho maarufu kushinda vyote. Hii ni hadithi ya kiistara juu ya nchi ambako dhulma inatawala kinyume na haki, sheria na utu. Kitabu kilichapishwa wakati ukoloni umetanda nchini Tanzania. First published in 1980, this new edition of Swahili stories by Shaaban Robert, the Swahili master, tells of angels and devils and other extraordinary creatures. It is a vehicle of invention for issues in the book which are about land and its plants, mining and its value, livestock and agriculture, commerce, travel, richness and poverty, the rich and their wealth and relations between siblings. A moving characterisation of people in different pursuits of wealth and welfare. In Swahili.
...
link: https://mkukinanyota.com/product/adili-na-nduguze/
...
ISBN: 997610247X
Thank you to Mkuki na Nyota Publishers
1 copy
Available for free in Arusha! Request
Have thoughts on this book?
Add a comment to get the conversation started!
Before viewing or adding comments, you must create an account. It takes just seconds!
Related books: Browse all